Je, hii inamfaa nani?

Walimu, Wazazi na walezi na maafisa wa Elimu.

Mwaka wa kuchapishwa
May 2025
Imetengenezwa na
Shirika la Kimataifa la Sense Tanzania na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ya Tanzania.

Mwongozo huu, ulioandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Sense International Tanzania (E.A), unalenga kuwawezesha wasaidizi wa walimu kuwasaidia wanafunzi viziwi wasioona katika madarasa jumuishi kuanzia elimu ya awali hadi darasa la pili. Unatoa mbinu na mikakati ya kufundisha stadi mbalimbali kama kusoma, kuandika, kuhesabu, afya, mazingira, michezo na sanaa kwa kuzingatia aina ya ulemavu wa mwanafunzi na uwezo wake wa kuona na kusikia.

Mwongozo huu pia unahimiza matumizi ya mpango binafsi wa elimu (IEP), njia jumuishi za mawasiliano kama lugha ya alama na Breli, na kushirikiana na walimu, wazazi na wataalamu wengine ili kuhakikisha mazingira salama na rafiki kwa kujifunza.

Pakua

Je, hii ilifaa

Maelezo haya yamekusaidia?Inahitajika
This field is for validation purposes and should be left unchanged.

Changia


Raslimali zinazofanana

Watoto wanaoishi na uziwikutoona

Shughuli za kila siku za watoto wanaoishi na uziwikutoona.

Festo – Kijana mwenye uziwikutoona, Tanzania

Video ya kijana mwenye uziwikutoona akijiingizia kipato kwa kufanya shughuli ya utengenezaji wa vikapu.

Philbert – Kijana mwenye uziwikutoona kutoka Tanzania

Ujumuishaji wa vijana wenye uziwikutoona kwenye shughuli za kiuchumi.