Mwaka wa kuchapishwa
February 2025

Fungua ulimwengu wa kusoma vitabu vingi vya mtandaoni vinavyoangazia maelfu ya aina na kategoria.

Maktaba

Maktaba ni ni maktaba ya mtandaoni inayotoa mamia ya vitabu vinavyohusiana na elimu, hadithi bunifu na hadithi zisizo bunifu.

Swahili Kids

Swahili Kids inatoa vitabu anuwai vya watoto katika mada nyingi na pia inajumuisha baadhi ya rangi na laha kazi za kila kitabu.

Bloom

Bloom ina zaidi ya vitabu 250 vya Kiswahili vinavyoshughulikia vitabu vya watoto, hadithi za uwongo na za kibiblia.

Hesperian

Mwongozo wa afya wa Hesperian unatoa anuwai za nyenzo mbalimbali za afya katika Kiswahili, ikiwa ni pamoja na vitabu vya mada kama vile afya ya jamii, afya ya wanawake, na huduma ya kwanza.

Bookshare

Bookshare ina maelfu ya vitabu vinavyoweza kufikiwa katika miundo na lugha mbalimbali, vinavyokuruhusu kubinafsisha matumizi yako ya usomaji.

Maelezo ya Ufikiaji wa Tovuti 

Katika baadhi ya maeneo kwenye tovuti yetu, tunashiria au kukuelekeza katika tovuti za watu wengine na programu ambazo hutoa taarifa muhimu na ushauri kwa watumiaji wetu. Hta hivyo, hatuwezi kuthibitisha kwamba tovuti na programu hizi za washirika wengine zinapatikana kikamilifu na zinatii miongozo ya WCAG 2.2.

Pale inapowezekana tunajitahidi kushirikiana na wahusika hawa kufanya mabadiliko yanayohitajika ili kuendana na miongozo ya WCAG2.2 na kuboresha ufikiaji wao.

Je, hii ilifaa

Changia


Raslimali zinazofanana

Muhtasari wa Sera ya Elimu na Mafunzo, Toleo la 2023

Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2023 ni mfumo wa kina unaoongoza maendeleo ya mfumo wa elimu jumuishi, wa haki na wenye ubora nchini Tanzania, kwa kuweka mkazo kwenye upatikanaji, umuhimu wa maudhui, na ujifunzaji wa maisha yote kwa wote, wakiwemo makundi yaliyo maalum.

Muhtasari wa Sheria ya Watu Wenye Ulemavu, 2010 

Sheria ya Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2010 ni sheria iliyotungwa kulinda haki na kuboresha maisha ya watu wenye ulemavu nchini. Inahakikisha wanatendewa kwa haki, wanapata fursa sawa, na wanaweza kushiriki kikamilifu katika jamii kama watu wengine. Muhtasari huu unaelezea kila sehemu ya Sheria ili kuwasaidia wasomaji kuelewa madhumuni yake…

Muongozo wa mwalimu wa kumfundisha mwanafunzi mwenye uziwikutoona katika elimu ya awali na msingi darasa la I-II

Mwongozo wa mwalimu unaotoa mikakati na msaada wa kuwafundisha kwa ufanisi wanafunzi wenye ulemavu wa kusikia au kuona katika shule za msingi za awali ili kuendeleza elimu jumuishi.