Mwaka wa kuchapishwa
February 2025

Fungua ulimwengu wa kusoma vitabu vingi vya mtandaoni vinavyoangazia maelfu ya aina na kategoria.

Maktaba

Maktaba ni ni maktaba ya mtandaoni inayotoa mamia ya vitabu vinavyohusiana na elimu, hadithi bunifu na hadithi zisizo bunifu.

Swahili Kids

Swahili Kids inatoa vitabu anuwai vya watoto katika mada nyingi na pia inajumuisha baadhi ya rangi na laha kazi za kila kitabu.

Bloom

Bloom ina zaidi ya vitabu 250 vya Kiswahili vinavyoshughulikia vitabu vya watoto, hadithi za uwongo na za kibiblia.

Hesperian

Mwongozo wa afya wa Hesperian unatoa anuwai za nyenzo mbalimbali za afya katika Kiswahili, ikiwa ni pamoja na vitabu vya mada kama vile afya ya jamii, afya ya wanawake, na huduma ya kwanza.

Bookshare

Bookshare ina maelfu ya vitabu vinavyoweza kufikiwa katika miundo na lugha mbalimbali, vinavyokuruhusu kubinafsisha matumizi yako ya usomaji.

Maelezo ya Ufikiaji wa Tovuti 

Katika baadhi ya maeneo kwenye tovuti yetu, tunashiria au kukuelekeza katika tovuti za watu wengine na programu ambazo hutoa taarifa muhimu na ushauri kwa watumiaji wetu. Hta hivyo, hatuwezi kuthibitisha kwamba tovuti na programu hizi za washirika wengine zinapatikana kikamilifu na zinatii miongozo ya WCAG 2.2.

Pale inapowezekana tunajitahidi kushirikiana na wahusika hawa kufanya mabadiliko yanayohitajika ili kuendana na miongozo ya WCAG2.2 na kuboresha ufikiaji wao.

Je, hii ilifaa

Maelezo haya yamekusaidia?

Changia


Raslimali zinazofanana

Hadithi ya mwalimu Adrian Maula

Adrian Maula ni mwalimu katika Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko, akieleza umuhimu wa Global Deafblindess Resource Hub katika kutoa vifaa vya kufundisha na elimu tangu kuanzishwa kwa kituo hicho. “Naitwa Adrian Maula ni mwalimu wa kitengo cha wanafunzi wenye ulemavu hapa shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko. Siku yangu hapa shuleni…

Hadithi ya Mama Mahdi

Kitovu cha kimataifa cha rasilimali za uziwikutoona kimekuwa na mchango kiasi gani tangu kuanzishwa kwake.

Mwongozo wa walezi wakati wa chakula kwa watoto wenye ulemavu wa kusikia na kuona 

Mwongozo huu unawapa walezi wa watoto wenye ulemavu wa Uziwikutoona mikakati ya vitendo, hatua kwa hatua, ya kukuza ujuzi wa kula kwa uhuru, kwa usalama, na unaochangia hisia.