Mwaka wa kuchapishwa
February 2025

Soma habari za hivi punde nchini Tanzania zikiwemo siasa, michezo, biashara na burudani.

Mwanachi

Mwanachi ni tovuti ya habari za mtandaoni inayoongoza nchini Tanzania inayotoa taarifa kuhusu sera, biashara, michezo na burudani.

Habari Leo

Habari Leo inatoa habari za ndani na za kitaifa kuhusu afya, jamii na biashara.

Daily News Tanzania

Daily News Tanzania ni tovuti inayoongoza ya habari mtandaoni ambayo inaangazia mada mbalimbali kama vile siasa, biashara, michezo na mengineyo.

ITV Tanzania

ITV Tanzania haitoi tu habari za kitaifa bali pia inajumuisha sehemu za habari za redio na video za mtandaoni.

Maelezo ya Ufikiaji wa Tovuti 

Katika baadhi ya maeneo kwenye tovuti yetu, tunashiria au kukuelekeza katika tovuti za watu wengine na programu ambazo hutoa taarifa muhimu na ushauri kwa watumiaji wetu. Hta hivyo, hatuwezi kuthibitisha kwamba tovuti na programu hizi za washirika wengine zinapatikana kikamilifu na zinatii miongozo ya WCAG 2.2.

Pale inapowezekana tunajitahidi kushirikiana na wahusika hawa kufanya mabadiliko yanayohitajika ili kuendana na miongozo ya WCAG2.2 na kuboresha ufikiaji wao.

Je, hii ilifaa

Changia


Raslimali zinazofanana

Muhtasari wa Sera ya Elimu na Mafunzo, Toleo la 2023

Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2023 ni mfumo wa kina unaoongoza maendeleo ya mfumo wa elimu jumuishi, wa haki na wenye ubora nchini Tanzania, kwa kuweka mkazo kwenye upatikanaji, umuhimu wa maudhui, na ujifunzaji wa maisha yote kwa wote, wakiwemo makundi yaliyo maalum.

Muhtasari wa Sheria ya Watu Wenye Ulemavu, 2010 

Sheria ya Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2010 ni sheria iliyotungwa kulinda haki na kuboresha maisha ya watu wenye ulemavu nchini. Inahakikisha wanatendewa kwa haki, wanapata fursa sawa, na wanaweza kushiriki kikamilifu katika jamii kama watu wengine. Muhtasari huu unaelezea kila sehemu ya Sheria ili kuwasaidia wasomaji kuelewa madhumuni yake…

Muongozo wa mwalimu wa kumfundisha mwanafunzi mwenye uziwikutoona katika elimu ya awali na msingi darasa la I-II

Mwongozo wa mwalimu unaotoa mikakati na msaada wa kuwafundisha kwa ufanisi wanafunzi wenye ulemavu wa kusikia au kuona katika shule za msingi za awali ili kuendeleza elimu jumuishi.